Katika hao wajumbe kuna hata mmoja ambaye ana maambukizi ili kudhibitisha kua UKIMWI si kitu?? kama hakuwepo hata mmoja basi hayo yalikua ni maongezi tuu yakupoteza mda uende, yapuuzwe
Mwanzo hua hivi...
Huo nimetoa mfano wapo wengine hata wa kawaida kabisa
Mitandao ya kijamii inaweza kua njia nzuri ya kusambaza video yako na ukapata wadau wa kudumu ..kikubwa utengeneze kitu kinacho eleweka ili usipoteze views wako
Haha mkuu ndio sikatai lakini ni kusudi langu pia kuwasaidia watu wengine ambao wenda hawafahamu sijataka kuficha like ninacho kifahamu kwani hii ni fulsa kama zingine, sema kwa namna Fulani vitu hivi vinaonekana vigeni huku kwetu lakini ni vitu vya kawaida naamini kwa wale ambao wataamua...
Kweli "it takes a time" lakini inawezekana ni wewe tu hata ndani ya mda mfupi unaweza anza kulipwa mtu kama masanja akipost video yake ndani ya wiki ni views wengi hata zaidi ya 120k
Itategemeana so kila wenye account za youtube wanalipwa wengine wanahitaji tu kujitangaza etc na ukitaka ianze kukilipa lazima uiwezeshe kwa kuunganisha na AdSense
Habari zenu Jf
Natumaini wote mu wazima..
Niende moja kwa moja kwenye mada!!
Kwanza mniwie radhi kwa kuwa maelezo mengi yatatolewa kwa njia ya video hapa chini hii nikwa sababu ya ugumu wa kulieleza swala hili kwa maandishi tuu!!
Maada ni namna ya kutengeneza pesa kupitia mtandao wa...
Bawasiri ni moja ya matatizo ambayo wengi wakipata huwa so wepesi kusema na hivyo kuleta matokeo mabaya zaidi hii nikwa sababu tuu ya sehemu nyeti Tatizo lilipo tokea, lakini hill ni tatizo la kawaida kabisa!!!!
Mara nyingi Tatizo hili linapokuwa tayari sugu yaani tayari nyama zimekuwa kubwa...
Afanye mazoezi, anywe maji mengi, tumia matunda kama vile matikiti ni dawa nzuri, punguza vyakula vyenye mafuta au wanga kupita kiasi kwani wanga ikizidi bado mwili huibadilisha na kuwa mafuta(fatty acid synthesis)
Nawasalimuni wote JFDoctors!!!
Somo la 1;Chanjo dhidi ya kuhara!!
Utangulizi
Chanjo, ni muhimu kwa mtoto kwani huandaa kinga ya mtoto mapema, na hivyo kumuepusha na maradhi ambayo yatamkabili siku za mbeleni ndani ya umri wa miaka 5,Chanjo imepunguza sehemu kubwa ya vifo vya watoto chini ya...
Pua ni miongoni mwa kiungo chenye mishipa mingi na mwembamba ya damu..!!!
Zipo sababu nyingi..
> Baadhi ni shinikizo la damu(hypertension),
>kukauka kwa kuta ndani ya pua,hii hufanya kuta hizi kupasuka kwa urahisi, hasa utakapo chokonoa hii huweza sababishwa na kukaa kwenye jua mda mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.