Recent content by Essien jr

  1. E

    Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

    Maendeleo hayapimwi kwa vitu bali watu! Kama watu wanalala njaa, wanakula mlo mmoja kwa siku hizo ndege zinawasaidia nini Watanzania? Kama wanaenda vituo vya afya wanaandikiwa dawa wakanunue, nini direct impact ya hizo ndege kwa mlalahoi wa Chato?
  2. E

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha viongozi walioteuliwa. Mathias Kabunduguru, Godfrey Mweli na Ali Sakila

    Swali je mh anaumwa au???, lakini simba na yanga huwa haziombeani mema MKUU!!!. Tunaonaga mpaka majeneza uwanjani!!!! Afu hata naibu supika alimzika sijui meenyekiti au nani vile kule mbeya pamoja na bendera ya chedema!!!.
  3. E

    Walioiba kompyuta ofisini kwa DPP ndiyo waliomzushia ugonjwa Rais, ni mtandao umejipanga kupambana na Serikali

    Ningekuwa askari ningeanza na wewe maana unayajua yot,Utasaidia mengi kumbe.
  4. E

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Kuna la kujifunza mbona shangwe zilikuwa ni nyingi kuliko majonzi?? Tafakari chukua hatua.
  5. E

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Akili za kijinga kabisa wewe umeajiriwa na serikali??, huli, huna familia??.kwahiyo ni sahihi Nchi kuwa kwenye taharuki kama hii bila kupata ukweli??. Acha kuwa muoga wq maisha, watu wanaishi bila kuajiriwa na wana maisha mazuri.
  6. E

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Mbengu ya ubaguzi ikishaota imeota na imeshamea!!!!, Tuliona TL alivyoshambuliwq na wasiojulikana Watu waliojitoa damu, kumuombea walifukuzwa na kukamatwa na jeshi la polisi linalolipwa PESA za kodi Zao. Tl kapigwa risasi watu walifurahi hadhalani na kukejeli mitamdaoni hatukuona serikal...
  7. E

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Walipotoa vitisho mliwashangilia, mkawasifu, mkawaita vidume Leo wamepatikana mnaleta Lomoni. #Apambane na hali yake
  8. E

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Ohhhh mbona kurugenzi ya ikulu haituahabarishi watz
  9. E

    Bob Chacha Wangwe kukata rufaa Mahakama ya Afrika kuhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi

    Zee zima kama wewe unashindwa kutoa hoja unaleta vihoja. Poyoyo.
  10. E

    Naunga mkono Rais kutuita vilaza

    Kilaza ni wewe na propesa magamba
  11. E

    Serikali yakana hukumu ya kuilipa ESCROW dola Mil 185. Dk. Abbasi asema Serikali haidaiwi

    Brother una akili fupi sana!!!, hivi watu waliosaini walisaini kwa niaba ya???. Ni nani kashitakiwa na Nani kaumliwa kulipa??. Akili za kipoyoyo kujimwamba....
Back
Top Bottom