Maendeleo hayapimwi kwa vitu bali watu! Kama watu wanalala njaa, wanakula mlo mmoja kwa siku hizo ndege zinawasaidia nini Watanzania? Kama wanaenda vituo vya afya wanaandikiwa dawa wakanunue, nini direct impact ya hizo ndege kwa mlalahoi wa Chato?
Swali je mh anaumwa au???, lakini simba na yanga huwa haziombeani mema MKUU!!!. Tunaonaga mpaka majeneza uwanjani!!!! Afu hata naibu supika alimzika sijui meenyekiti au nani vile kule mbeya pamoja na bendera ya chedema!!!.
Akili za kijinga kabisa wewe umeajiriwa na serikali??, huli, huna familia??.kwahiyo ni sahihi Nchi kuwa kwenye taharuki kama hii bila kupata ukweli??. Acha kuwa muoga wq maisha, watu wanaishi bila kuajiriwa na wana maisha mazuri.
Mbengu ya ubaguzi ikishaota imeota na imeshamea!!!!, Tuliona TL alivyoshambuliwq na wasiojulikana Watu waliojitoa damu, kumuombea walifukuzwa na kukamatwa na jeshi la polisi linalolipwa PESA za kodi Zao. Tl kapigwa risasi watu walifurahi hadhalani na kukejeli mitamdaoni hatukuona serikal...
Brother una akili fupi sana!!!, hivi watu waliosaini walisaini kwa niaba ya???. Ni nani kashitakiwa na Nani kaumliwa kulipa??. Akili za kipoyoyo kujimwamba....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.