Unaweza kumpoteza mpenzi wako unayempenda kwa dhati eti kisa tu unashindwa kuomba msamaha. Mi nafikiri ni vema kutafuta amani kuliko kujifanya nunda japo iwe balanced
Mimi Kuna demu wangu tumeachana juzi,. Nilimkuta na mshikaji wangu jioni anamsindikiza dukani sijui Kama alikula Ila nilihakikisha naaribu kote na tumemkosa wote Bora tu
Bora yako kaka Mimi tumezinguana na demu wangu juzi Ila siko vizuri kihisia, japokuwa tulikuwa hatupendani kiivo toka mwanzo. Ila roho inaniuma na hajawai kunichangamkia kivile Yani yupoyupo tu pia anakaushamba flani hivi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.