Recent content by esma bey

  1. E

    Single mamaz club

    Hapa ndio umejipambanua Nini unamaanisha,awali ulizungumza kwa lugha chafu sana, mimi sio muumini wa waume za watu kaka. Mimi nimesoma SAIKOLOJIA Na akili binafsi haijawahi niruhusu kufanya ulichofanya wewe (cheating) au alichofanya huyo mwanamke.
  2. E

    Single mamaz club

    Mim sipambani ila unatumia lugha ambayo si sahihi,nmekushauri kaa chini zungumza nae kwa hekima atambue wewe ni mume wa mtu aelewe wewe ni mume wa mtu na KAMWE hakuna chochote kinachoweza kuwepo kati yenu...Wewe umeshindwa fikisha ujumbe kwa lugha nzuri
  3. E

    Single mamaz club

    Mimi sio single mother wala sijabahatika mtoto bado ila yafaa ubadili aina ya maneno unayozungumza,ikane nafsi yako mwenyewe na uombe radhi kwa Mungu wako na kwa uliyemzalisha hakika nakuambia aina ya maneno unayozungumza yatakurudia kwenye mifupa yako mwenyewe ,(mifupa katika mifupa yako,damu...
  4. E

    Single mamaz club

    Kwanini uliruhusu aingie kwenye maisha yako? Ujue nae ni mtoto wa mtu yule amezaliwa kama wewe,umeuteka moyo wake sahiv unamuona msumbufu? Mjue nyie watu mnafanya vitu mkifikiri vinapita ni laana hizi haya mambo yanajirudia kama si kwako basi kizazi chako...Hebu kuweni na huruma ni binti za watu...
  5. E

    Single mamaz club

    Daaah hii Dunia Kuna watu wanaongea vibaya jamaniii.... Mwenyezi Mungu ni mkuu0
  6. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Mmh! Mungu akuweke uishi mpaka uzee wako!Kisha ujionee mwenyewe kwa watoto wako haya unayoyasikiaga tu kama simulizi kwa walimwengu
  7. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Sina ndugu yangu.
  8. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Kadiri umri unavyosogea utajifunza kuumba busara katika midomo yako
  9. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Please channel your energy to something else
  10. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Yupo wapi dear
  11. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Na mimi sio mwepesi hivo mpendwa wangu,mimi siharakishi Wala si kuwa sipati watu serious ila dini tofauti,kingine unachotakiwa kuelewa uzazi na udogo,sisi wanawake tuna limit ya umri wa kuzaa tunatofautiana kwenye mitazamo siwezi kataa mtazamo wako,ubarikiwe
  12. E

    Natafuta mume (searching for husband)

    Habarii Wana JF Natafuta mume Nina umri miaka 26 Mkristo Mjasiriamali Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa. Awe mkristo Asiwe ameoa Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30. Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi...
Back
Top Bottom