Recent content by escada

  1. E

    Natafuta chumba kikubwa self contained morogoro mjini

    Kalakala ingekua safi, bajet ni 80k
  2. E

    Natafuta chumba kikubwa self contained morogoro mjini

    Natafuta chuma moro mjini kikubwa kinachoweza fanyiwa partition ama kama vipo viwili vikubwa pia nisawa.mazingira ya nje yawe ya kuridhisha.
  3. E

    Crane operator anahitajika

    Kama unaujuzi na kuoperate crane kuna kazi zinatolewa.piga namba 0713327000.
  4. E

    Fireman anahitajika

    Jaribuni tena, offici ilikua buzy lately
  5. E

    Fireman anahitajika

    Namba mbona yapatikana!
  6. E

    Fireman anahitajika

    Aspam Energy inatafuta mtu wa zima moto mwenye experience. Kama unavigezo wasiliana na namba hi 0713327000.
  7. E

    Wafanyakazi wanatafutwa

    Kuna kampuni inatafuta wafanyakazi wafwatao agently, plant operator,electricians,maintainance, safty officer,fire fighters,crane operatours, weighbridge na instrument technichian. Kama una expirience na position zilizotajwa hapo juu tuma CV kwa sallykajala@gmail.com
  8. E

    Naweza pata wapi suti za kukodisha za wadada?

    Rangi ni dark blue suits na nashati ya sky blue, one is small, seven are medium one is large, zahitajika next week, but tunatafuta ili waweze kuja kufanya fiti na tukubaliane bei.
  9. E

    Nauza laptop.

    Weka namba ya simu
  10. E

    Kwa wanaopenda kupendeza!

    Nizawakaka tu?
  11. E

    Naweza pata wapi suti za kukodisha za wadada?

    Hallow, jamani naombeni msaada kama kunamtu anaweza kunielekeza ni wapi naweza pata suti za wadada kama nane za kukodisha, koz officini wanataka maashers wavae nguo za aina moja.
  12. E

    Kwa wafanyabiashara wanaochukua mzigo southafrica.

    Kwa wale wafanyabiashara wa tanzania ambao wanafanya manunuzi ya bidha zao kutoka africa kusini epukeni kupoteza hela wakati unapobadilisha shilingi za kitanzania kwenda dolla alafu dolla kwenda kwenye rands. Offici ya senditdirect ilioko pritoria inaweza kukununulia bidha zako huko kwa rands...
  13. E

    Kwa wafanya biashara wanaonunua mzigo toka afrika kusini

    Kwa wale wafanyabiashara wa tanzania ambao wanafanya manunuzi ya bidha zao kutoka africa kusini epukeni kupoteza hela wakati unapobadilisha shilingi za kitanzania kwenda dolla alafu dolla kwenda kwenye rands. Offici ya senditdirect ilioko pritoria inaweza kukununulia bidha zako huko kwa rands...
  14. E

    Kwa wafanya biashara wanaoingiza mizigo kutoka africa ya kusini.

    Kwa wale wafanyabiashara wa tanzania ambao wanafanya manunuzi ya bidha zao kutoka africa kusini epukeni kupoteza hela wakati unapobadilisha shilingi za kitanzania kwenda dolla alafu dolla kwenda kwenye rands. Offici ya senditdirect ilioko pritoria inaweza kukununulia bidha zako huko kwa rands...
Back
Top Bottom