Recent content by Erythrocyte

  1. Erythrocyte

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Mawaziri wangapi wamefungwa jela Nchi hii kiasi cha kuogopesha mwingine kuandika jina lake kwenye mradi wake hata kama ni wa wizi?
  2. Erythrocyte

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Uzi huu ni Swali Wala siyo tuhuma, Msiogope kuulizwa maswali
  3. Erythrocyte

    Leo ni siku maalum ya maombi ya kumbukumbu ya mauaji ya kukusudia Oktoba 29, 2025

    Vipi Ile tume ya kisirisiri ya kuchunguza vifo vya viongozi ishaundwa?
  4. Erythrocyte

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Lukuvi alipata Wapi hela? Kama ni benki sema
  5. Erythrocyte

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Habari za kizimkazi, Hivi unaielewa hiphop?
  6. Erythrocyte

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Bilonea Sugu kumfananisha n.a. Lukuvi ni mambo ya ajabu sana, unajua bei ya albam MOJA ya hip-hop USA?
  7. Erythrocyte

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Hii ni Hotel ya Kisasa ya Hayati Lukuvi, Ambaye ni Mtumishi wa Umma tangu amalize shulei hadi alipofariki Mishahara ya viongozi wa TANZANIA inafahamika, Ndio Maana Nyerere hadi anakufa Hakuwahi kuwa n.a. duka hata la kuuza Mchele Swali letu ni hili, Ndugu Lukuvi mkazi wa Idodi Ismani amepata...
Back
Top Bottom