Recent content by erikc

  1. E

    Osama bin Laden killed!

    Osama alishakufa zamani, walificha ilikuendeleza vita yao thidi ya ugaidi duniani sasa wameamua kumaliza ndio maana wamepublish kifo cha utata mtupu
  2. E

    mazoezi ya ndege za kijeshi dar es salaam leo ina maana gani?

    Jamani waacheni fanye mazoezi nyie kinawauma nini mbona kwenye sherehe za uhuru pale uwanja wa taifa huwa zinapita na mnashangilia. Kwakua imetokea bahati mbaya ya mbagala ndio mmeanza kusema hayo waache baaaaaa. Ajali haina kinga!
  3. E

    Amekutwa na ky jelly!

    huyo shemeji yako lazima anatumia kale ka mtandao ka kujiexpress yourself
  4. E

    Nahitaji mpenz

    wewe bado ni mtoto mdogo sana achna na mabo hayo nenda shule kwanza tena unaelekea uliyaanza mapema sana ndio maana uliumizwa kwasababu ulikua ujui unachokifanya, mimi nakushauri achaaaaaa muda wako bado sana!
Back
Top Bottom