Wakuu naombeni maelekezo juu ya hili, mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni binafsi baadae nikaacha kwa hiari yangu, kwenye account yangu ya NSSF kuna kiasi changu kadhaa cha pesa, sasa nahitaji nijue nifuate utaratibu gani ili kuipata, na naweza kuipata ndani ya muda gani kama nikianza...