Recent content by Erick11

  1. E

    Je unakumbuka siku uliofanya mapenzi mpaka ukakubali show

    Kwani kuna wengine hii inakuwaga ni mara moja moja kumfikisha mwanamke ?? au sijaelewa?? mimi show zangu zoote napiga vizuri saana na sijawah kukosea, soo kila nikipiga shoo namwacha hoi na mpaka salute wanapigaga au kulala hoi kabisaaaa
  2. E

    Natafuta mke bikra

    Dar es salaam
  3. E

    Natafuta mke bikra

    Miaka yangu inahusika nn na kupata au kukosa mwanamke Bikra!?
  4. E

    Natafuta mke bikra

    Karibu pm kama upo seriously, ila sijajua upoje nao
  5. E

    Natafuta mke bikra

    Hii hapana, next years naona! MUNGU akijaalia
  6. E

    Natafuta mke bikra

    Nimeongea beautiful....... beautiful always ni nature achana na make up au losheni Kwanza😜
  7. E

    Natafuta mke bikra

    Pole saana
  8. E

    Natafuta mke bikra

    Habari za majukumu ndugu zangu wote! Nategemea kuoa mwakani Mungu akijaalia, kutokana na expirence ya mahusiano ya sasa na maisha kwa ujumla Mimi binafsi nimetamani kutaka kuoa mwanamke ambaye ni BIKRA. Nina sababu zangu nyingi saana, awe na age yoyote japo najua Bikra wengi watakuwa range ya...
  9. E

    Nanunua google play console mpaka Tsh. Milioni 1

    tusiojua google console tunaomba ufafanuzi, ukute tunazo na hatujui
  10. E

    Nauza Matikiti shambani

    mkoa wa pwani kama unaenda rufiji
  11. E

    Nauza Matikiti shambani

    hata yakijaa vipi price zinajulikana mkuu
  12. E

    Nauza Matikiti shambani

    Habari za majukumu! nategemea kuvuna matikiti mwezi huu wa 8 tarehe 24-25, shamba lipo mkulanga, unaruhusiwa kutembelea shambani muda wowote kuangalia na kufanya makubaliano muda wowote kuanzia sasa! nategemea kuvuna kuanzia ton 7 na kuendelea, pia kwa mwenye connection na wanunuzi wa...
  13. E

    Nauza Matikiti shambani

    Habari za majukumu! Nategemea kuvuna matikiti mwezi huu wa 8 tarehe 24-25, shamba lipo mkulanga, unaruhusiwa kutembelea shambani muda wowote kuangalia na kufanya makubaliano muda wowote kuanzia sasa! Nategemea kuvuna kuanzia ton 7 na kuendelea, pia kwa mwenye connection na wanunuzi wa zanzibar...
  14. E

    Nahitaji magunia ya bamia na Nyanyachungu Dar es Salaam

    Habari za majukumu, Kama kuna mkulima au mwenye anajua zinapatikana BAMIA na nyanya chungu naomba connection, ikiwa karibu na Dar itakuwa vizuri zaidi au hata nje ya Dar. Nahitaji gunia kuanzia 5 na zaidi kila baada ya siku 2. 0658644485 kwa mawasiliano zaidi
Back
Top Bottom