Watanzania tumechoka kuibiwa na hawa viongozi Wa nyinyiemu utasikia iptl Mara dowansi hujakaa sawa escrow akaunti. Huku walio wengi wapiga kula wanakufa mhimbili kwa kukosa dawa wao wakiumwa wanakwea pipa nje ya nchi kutibiwa umefika wakati Wa upinzani kuchukua dola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.