Binafsi najiuliza kwanini wengi wakisikia kiongozi anakuja mahali fulani ndio wanakuwa na mabango wengine wanalia yaani unakuta vurugu nyingi na ilhal mahali alipo kuna viongozi.
Je, hawa wananchi wapo sawa au wanafanya unafiki.
ndg naomba ushauri wenu niepukane na siasa zisizo za ukweli tanzania nifanyeje kwani katika uchunguzi wangu nilioufanya hadi sasa naona kama watanzania wanadanganywa na wanazidi kuangamia,tukiangalia kwa wenzetu wa kenya baada ya kanu kutoka madarakani chama kilichopo madarakani kiliendelea...
Kwa kitu ambacho kinanisikitisha ni kitu ambacho kiliahidiwa toka mwaka 2010.na mbunge wetu wa jimbo la kondoa kaskazini inakuwaje tangu kipindi hiki mambo bado hayajakaa vizuri je inamaana hamjui kuchagua mana mnavyoendelea hinyo mtajikuta mnadanganywa hadi tena 2020.Mngejua mambo ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.