msaada mkubwa baada ya wao kushindwa kukamilisha kwa wakati,waombe wakutengenezee Statement of results ambayo wao wataituma direct chuo ulicho chaguliwa kuna gharama zake pia then utafuatilia suala lako baada ya kuweza kutambuliwa na chuo.
UDSM ni chuo namba 4 kwa ubora wa elimu Africa na cha kwanza East and Central Africa sio namba uliyosema tuwe tunaandka kwa facts tusipotoshe umma.
Kwa report ya African Economist ya 2013.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.