There is a silent ‘p’ in ‘psy’ not ‘sy’ rudi shule kwanza.
As for me I am just doing them a simple favour.
Siasa zao bado sana na sina huo wala uvumilivu kuona hayo mabadiliko.
Napenda tu kuwakosoa watu ambao wanajaribu lakini siwezi ajiriwa na serikali ya Tanzania mpaka naingia kaburini...
Dubwasha kubwa kama CCM kulitukana unatafuta ugomvi mkubwa sana.
Unapokosoa viongozi wao lazima ujue mipaka yako.
Wengine tunapo wapa vipande vyao viongozi wao tunaelewa ni kwa wale ambao wanaweza kulala na kidali, ila usivuke mipaka.
Acheni kuangaika na mikwala ya sakapoko, wakosoaji wa CCM...
Philosophical arguments za kitabu cha Plato ‘the republic’ kimechangia sana civil services duniani kutengeneza watu sahihi na umuhimu wao kwenye kuongoza nchi indirectly.
Tanzania inafuata hizo philosophy kwenye succession planning ya ascendency ya civil services. Kutoka kwenye work floor hadi...
Hizi ndio siasa za wahuni walizotumia kumchafua Magufuli exploitation ya watanzania kutopenda kujifunza how things work in different government departments au sehemu ambazo hayati hana maamuzi yake kwenye utendaji na kumtupia lawama za kupikwa kama hizi (ame influence outcome). Waziri wa nishati...
Mjomba mziki wa baridi nchi nyingi ni October to February; hiyo vita ilianza baridi inaisha.
Sasa hivi mziki wa baridi unakuja ndio unaona EU wanakuja na hadithi za kupunguza 15% ya matumizi kila mtu kwa sasa ili kuwa na reserve ya kutosha winter just in case Russia akikata zaidi gas in the...
https://news.sky.com/story/amp/mcdonalds-increases-price-of-cheeseburger-for-first-time-in-14-years-12659882
Hiyo inakwambia athari zake McDonalds awajapandisha bei ya bidhaa zao kwa miaka 14.
Waulize watu wanaoishi huko bei za vyakula sasa supermarkets.
Hao waingereza walau wana security of...
Waulize watu wanaoishi nchi za EU zinazotegemea mafuta na gas Russia ndio watakwambia mziki wa inflation ni shida hasa kwa watu wa low income.
Ikifika winter hakuna suluhisho la inflation kuwasha hitting iwe anasa majumbani watu wataingia kitaa hiyo vita isiwe tabu kwenye maisha yao.
Vita sasa...
Ma DC na wakurugenzi watakuwa hawana amani kabisa asubuhi ya leo. Mtu hata chai kunywa aipandi hasa kwa wale ambao awajatokea serikalini na pressure juu.
Tabu yote hii ya nini yaani kila ukitoka kwenye media Rais wetu mnapendwa katupa mabilioni ya kujenga sijui nini kutwa kujipendekeza na ajira...
Si ndio anavyopita na kugawa majiko kwenye ziara yake kwa mtindo wa sandakalawe, sasa kuna methodology hapo ya ku monitor tabia iwapo sample yenyewe anakutana nayo barabarani. Baada ya hapo anaenda kijiji kingine na waliopata majiko wanaendelea na maisha yao, can you call that a research au mtu...
It’s a pity
Inabidi afungiwe speed governor hasa kwenye matumizi ya mipango yake not necessary ni mipango mibaya mara zote but not thoroughly planned.
Hivi unawezaje kusema unafanya research kwa kugawa majiko, kama pilot scheme kuona utayari wa watu vijijini kutumia nishati ya Gas. Wakati...
Yaani mtu anatumia hela za walipa kodi kununua mitungi kutoka kwenye biashara ya mtu wake wa karibu; halafu akiulizwa anasema waulizaji wakatapike.
Tena anapiga na picha majiko kayageuza tuone chapa ya ‘taifa gas hiyo si ni promotion ya bure’ anawafanyia.
Hila hawa jamaa wanadharau kweli...
Biashara ya kuendesha railway line Tanzania au ata Africa una compete na nani, hakuna bidding competition huku za private firms kuendesha railway line.
Kwa maana hiyo unapanga bei after break even costs. Halafu sio lazima mizigo au chombo kijae ndio upate faida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.