Recent content by Epithelium

  1. Epithelium

    Aliyeona CHADEMA wakitoa misaada kwa wananchi wa Hanang kama walivyofanya CCM naomba aniwekee hapa picha au video yake

    Japokuwa jambo hili halina usiasa lkn wanasiasa mmeshaliweka kisiasa tayari
  2. Epithelium

    Mnufaika wa mkopo HESLB kwenda nje

    Jamani hili jambo limekaa kisiasa pia, mm uzi wangu umelenga kuuliza swali je mnufaika wa mkopo ya elimu ya juu anaweza kufanya kazi nje ya nchi na kama ndio vipi kuhusu makato yake au ndo mpk ulipe deni lote ndipo upewe work permit!?
  3. Epithelium

    Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

    Tupo wengi na mimi hapa, Hamuwezi kuchafua mambo aliyoyafanya kirahisi rahisi impossible lini giza likafata mwanga!?
  4. Epithelium

    Upinzani hafifu usiokuwa na maana

    Kila mtu ni shahidi wa mwenendo wa nchi hii hata wale wa anaupiga mwingi wanajua hilo,wanajifanya kuficha ukweli,wanaweka giza kwenye mwanga jambo ambalo haiwezekani, mafisaidi ndo viongozi wakubwa tena wanajifanya kondoo,kwa kifupi nchi imetekwa. Tunahitaji sana mabadiliko sasa shida inakuja...
  5. Epithelium

    Vijana ndiyo mnaiharibu Tanzania yetu na si viongozi

    Umaskini ndo end product ya huo uchambuzi
  6. Epithelium

    Vijana ndiyo mnaiharibu Tanzania yetu na si viongozi

    Mabadiliko tutayasikia tu
  7. Epithelium

    Vijana ndiyo mnaiharibu Tanzania yetu na si viongozi

    Tumia akili,na uelewe mwanamke ni nani hapo, usikurupuke
  8. Epithelium

    Vijana ndiyo mnaiharibu Tanzania yetu na si viongozi

    Hayo yote yako wazi yanajulikana kwahyo unataka na wewe watoto na vijani wenu waige hzo tabia kutoka kwako!? Tabia ambazo ni acquired,we are not born with this charater kuzibadili ni rahisi sana na inaanzia hapo hapo ulipo, mkuu tunatakiwa kukubali tatizo na kuanza kuchange, ku project project...
  9. Epithelium

    Vijana ndiyo mnaiharibu Tanzania yetu na si viongozi

    Sisi vijana wa nchi hii ndo tunamakosa makubwa na sio viongozi, yaani vitu vinapigwa huko sisi tumelooowa tu, sjui shda iko wapi jmn au ni ujamaa wa Baba etu wa taifa MWALIMU NYERERE umetukuza waoga lakini mbn sisi vijana haujatuhusu saana ujamaaa, mbona Tanzania sisi ni wa oga sana, yaani mke...
  10. Epithelium

    Wassira: Hoja ya Serikali za Majimbo wanayoinadi CHADEMA haina tija, itaongeza gharaza za kuendesha Serikali

    Issue kama tumeshindwa kujidhibiti kwenye huu mfumo ambao upigaji ni nje nje je tutaweza mfumo wa majimbo na kama itawezekana ni kwa mikakati ipi!?
Back
Top Bottom