Jamani hili jambo limekaa kisiasa pia, mm uzi wangu umelenga kuuliza swali je mnufaika wa mkopo ya elimu ya juu anaweza kufanya kazi nje ya nchi na kama ndio vipi kuhusu makato yake au ndo mpk ulipe deni lote ndipo upewe work permit!?
Kila mtu ni shahidi wa mwenendo wa nchi hii hata wale wa anaupiga mwingi wanajua hilo,wanajifanya kuficha ukweli,wanaweka giza kwenye mwanga jambo ambalo haiwezekani, mafisaidi ndo viongozi wakubwa tena wanajifanya kondoo,kwa kifupi nchi imetekwa. Tunahitaji sana mabadiliko sasa shida inakuja...
Hayo yote yako wazi yanajulikana kwahyo unataka na wewe watoto na vijani wenu waige hzo tabia kutoka kwako!?
Tabia ambazo ni acquired,we are not born with this charater kuzibadili ni rahisi sana na inaanzia hapo hapo ulipo, mkuu tunatakiwa kukubali tatizo na kuanza kuchange, ku project project...
Sisi vijana wa nchi hii ndo tunamakosa makubwa na sio viongozi, yaani vitu vinapigwa huko sisi tumelooowa tu, sjui shda iko wapi jmn au ni ujamaa wa Baba etu wa taifa MWALIMU NYERERE umetukuza waoga lakini mbn sisi vijana haujatuhusu saana ujamaaa, mbona Tanzania sisi ni wa oga sana, yaani mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.