Sasa inabidi hiki kizazi chetuu kifanye mabadiliko. N a siyo kitu rahisi kwa sababu mabadiliko mengine huambatana na kafara na mapinduzi ya kweliu yanahitaji kujitoa. ni kwanini tusiwe tunatoa rai kwa viongozi wetu yaani hata iwekwe siku maalum ya mjadala kuhusu jambo fulani . lakini pia...
tumwombe Mungu kwa kweli...kuna minong'ono nasikia sikia. Mama inabidi awe kiongozi mwenye maamuzi na msimano. wanaomsifia wana lao jambo...avunje kwanza vikundi vyote vya zamani va vipya vya wahujumu uchumi na walaghai. Nchi ina wasaliti wengi ambao wanapokea sapoti kwa wakolonio...hatutaki...
Yaani wakilega lega kidogo tu kina ridhiwani watatake over. inasikitisha vp na pm walivyotudangaya wakati uleraisi anaumwa na amezidiwa...sasa imani yetu kwao ishapungu na tunaamini pia hawajatuambia ukweli kuhusu kifo chake. kwanini wasimtaje aliyemchoma sindano na aliyeagiza achomwe? huu ni...
Huu ni ushauri wa kipuuzi au umetumwa na kina Ridhiwani. Kwanini miradi yote hiyo ifutwe. hatutaki uzalishwaji umeme na gesi from watu binafsi...hii ni miradi ya familia moja ambayo waliitengeneza kusave watoto wao wasinyongwe. acheni kuwa wachoyo...familia moja au tano haziwezi kuwa eti ni...
sasa unTgeme nini kama huyu chama chake ni Chadma? Chadema si ndiyo wanaloot na ndiyo adui wa maendeleo ya watanzania wakishirikian ana lile kundi linalimsapoti kigogo. achukuliwe atua ilki akome.
Kwanza ni kwanini awawke hawa serikalini at all. Ni kwa sababu ni watoto wa viongozi waliotangulia au? ule mfumo wa kuwekana ukoo mzima madarakni Mh. Dr. Magufuli aliufuta. Ni kwanini mama yetu raisi mh. Samia sasa mumwambie mtu wa kuchagua> mama Samia tumemjua kama mtu mwadilifu. Usimfundish...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.