Recent content by EPIGNOSIS

  1. E

    JamiiForums Tanzania BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    Hoja zisizo na mashiko achaneni nazo.Swali la kujiuliza ni je dini tulizo nazo zimetusaidia kwa kiwango gani kuondoa umaskini,ufisadi na maovu mengine katika jamii kwa kipindi cha miaka 50 ya uhuru iliyopita.Je kuwepo kwa uislam au ukristo kumeongeza shule ngapi,barabara ngapi au kumechangia...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Dkt. Gharib Bilal Makamu wa Rais kwanini hasikiki sana au si maarufu sana kwenye vyombo vya habari?

    Sioni kazi ya Dr.Bilal.Kuna haja ya kuangalia upya umuhimu wa kuwa na makamu wa rais kwenye katiba mpya.Kwa sasa hana mashiko ya kiutendaji.Kazi ya kukata utepe hata balozi wa nyumba kumi anaweza kufanya.
  3. E

    JamiiForums Tanzania Lowassa anafanya nini bungeni?

    Mwacheni apunzike
  4. E

    JamiiForums Tanzania Nashauri Naibu Speaker Job Ndugai aongoze kikao cha bunge kesho

    hafai kabisa
Back
Top Bottom