We unafikiri mtandao unaujua ww tu,na kwa mawazo yako unafikiri kijijini huwa awauzi hata mbuzi 3 za elfu 50 kwa hiyo elimu yako hunazani hawauzagi hata ng'ombe kwa hiyo kijijini laki wanashika sana na lazima waelezwe fedha za escrow
Ngereja wetu kabla ya kuwa mbunge alikuwa mwadilifu alivyoingia tu kwa ubunge akawa mwizi wa kupindukia niambie ni wizi gani umepita nchi hii bila kuwemo ngereja ccm kwa kuharibu vijana wetu balaa,mkutana aliofanya jimboni kwake shule ya msingi pambalu alizomewa mpaka na watoto licha ya kuwepo...
Chadema hata watumie magari 10 fedha za mafuta wanachangia wapenzi,wakereketwa na wanachama wa chadema na mm nikiweka lita 50 kwa gari moja kwa hiari yangu bila kulazimishwa na mtu
ZZK aendelee kuitumikia CCM chadema na wananchi wake akuna asiejua hilo dr.yuko marekani makamanda nchi nzima wako na wananchi maana chadema ina uongozi kila kata nchi nzima huyo mleta mada hajui hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.