Kichwa chako ndo serikali yako hivyo maamuzi ni yako usije ukasema nilishauriwa kwenye mahusiano kuna mambo mengi sana ambayo yanaweza pia yakakufanya ukapafomu vzr au akaharibu vyote hivyo kusoma na mapenzi naweza nikasema haviendani fanya kusoma kwanza wasichana wapo wng sana!!
Nafikiri kama angekuwa na uchungu na mafisadi asingethubutu kwenda kwa mh. Vijisenti nakumnadi kuwa huyu ndiye jembe lake! hii nafikiri ni danganya toto.
Inafaa nyote mfungwe mawe na mkatumbukizwe bahari la sivyo mnyongwe hadi kufa japo binadamu hajakamilka lakin siyo hivi mara ya 1 ;2 ;3 ;4 ........8 daaah!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.