najua humu kuna wataalamu wanaonesha mpira na mimi ndio nina anza biashara hii na nina anza na kifurushi cha dstv cha 82000/=je hapa nitaweza onesha epl na uefa? SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select
SuperSport 9
SuperSport 9 East
SuperSport HD 11
SuperSport HD 12
HABARI ZA LEO , Ndugu zangu ninaomba msaada simu yangu ya tecno h5 imenigomea baada ya kuiwipe data na cache yaani inawaka alafu kwenye skrini haioneshi kitu ni mwanga tu ndo upo alafu kuna mstari wa bluu kwa juu sasa nifanyaje msaada ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.