Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu uhuru mmeshindwa kutuletea maendeleo kwa zaidi ya miaka 50 sasa mmekuwa na viburi kwa Watanzania kana kwamba hii nchi yenu pekee yenu sasa sasa October 25, CCM mnatoka kwa kura zetu wenyewe Watanzania.
Baada ya farao kuwatesa Sana waislaer hatimaye kawapa ruhusa ya kuonana, sasa jmosi wanamabadiliko tukutane jangwani yote mipango ya mungu kweli ukawa mpango wa mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.