Recent content by Enock Chilewa

  1. Enock Chilewa

    Rais Magufuli, tuache tupumzike

    Write your reply...Mpige kura, msipige kura bado bado JPM atashinda tu, wala si kwa ujanja ujanja kama mnavyowalisha watu sumu ya kwamba ushindi huwa sio wa halali. Wewe wa mjini usimpe kura lakini huko vijijini watampa tu kura za ushindi maana huko ndiko wanakoona kazi ya JPM. Tena kama...
  2. Enock Chilewa

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Write your reply...HAPA KAZI TU. Ndiyo inayowatesa nyote mnaompinga JPM,maana mlizoea kujipigia na kupata pesa za dhambi kwa kudhurumu jasho la wanyonge.Sasa ni wakati wenu wa kukinywea kikombe, wote mnaompinga JPM Mungu anawaona.
  3. Enock Chilewa

    Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

    Write your reply...Eti mwakani hapiti, mbona mnateseka namna hiyo?.
Back
Top Bottom