Recent content by Ennymoh

  1. Ennymoh

    BAKWATA: Mwezi haujaandama, Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa 14 May 2021 Siku ya Ijumaa, Sherehe kufanyikia Dar

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatu. Niwatakie Eid njema kwenu na familia zenu.
  2. Ennymoh

    Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Mpelelezi kwa daktari afanyiwe uchunguzi zaidi ukiwahi mapema itaacha na maumivu hayata rudi tena
  3. Ennymoh

    Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

    Miaka 23 bado hujakomaa kama uliweza kumtoa na ukafanikiwa tulia kwanza usikimbilie maisha ya unyumba wewe bado sana,subiria atajitokeza atakae kua na upendo wa juu wakweli na wewe muda ukifika. Huyo msahau hakuwa na hawezi kua na mapenzi na wewe na amejipanga kurudi ili aje akumalize...
  4. Ennymoh

    Ukitoka safari unaweza mpelekea mwanamke zawadi gani?

    Inategemea na mwanamke ulie nae anapenda vitu aina gani
  5. Ennymoh

    Mchango wako muhimu...

    Hivi ni kwanini mwanamke akimzidi umri mwanaume familia inaleta vikwazo juu ya mahusiano kati yao mpaka inafikia kuachana unakuta labda mke ana miaka 40 na mume 35 au mke awe 45 na mume 40 inakuwa ni tatizo kubwa?
  6. Ennymoh

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Umry: miaka 40 Masomo: darasa la 8 Dini: muslim Makazi:kenya Watoto:watatu vijana wakubwa Kazi niko Saudi Arabia Ila natarajia kushuka huu mwaka. Matarajio yangu nikufanya biashara
Back
Top Bottom