Recent content by Enno Temba

  1. E

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Natafuta Tv inch 50 smart Budget 600 0755 982500 WhatsApp Moshi
  2. E

    Kinyozi anahitajika Moshi

    Walipatikana vijana tano nimechukua wawili wamebaki watatu na wana sifa pia, niunganishie basi hapo wanapolipoa 500k kwa mwezi tuwasaidie. Asante.
  3. E

    Kinyozi anahitajika Moshi

    Kijana wa kunyoa anahitajika, awe msafi, ajue kunyoa style zote, Awe mkazi wa Moshi. Ofisi zipo KCMC Moshi. Kama una hizo sifa au unamfahamu mtu mwenye hizo sifa tuwasiliane. 0755982500
  4. E

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Natafuta fridge kubwa kwanzia ltr 200 nipo Moshi, Mwenye offer nzur tunamaliza biashara leo leo
  5. E

    Librarian anahitajika

    AMESHAPATIKANA Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. E

    Librarian anahitajika

    Muhusika ani-pm nitampatia maelezo yaliyobaki Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. E

    Librarian anahitajika

    Habari wana jamii forum, Natumani mu wazima. Kama wewe au una mtu yeyote anaweza kufanya kazi maktaba mwenye sifa zifuatazo. 1. Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea 2. Awe mchapakazi (kufanya kazi bila kusimamiwa) 3. Mwenye uzoefu kwanzia mwaka mmoja na kuendelea atapewa kipaumbele...
  8. E

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo iphone 6plus katika hali nzuri sana bei Tsh 600,000
  9. E

    Natafuta kazi ya finance au banking; niko tayari kufanya kazi mkoa wowote

    Mimi ni kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 24, Nina shahada katika fani ya banking and finance. Pia nina uzoefu kidogo katika fani yangu. Nipo tayari kufanya kazi kwenye kampuni, taasisi, benki nk. Kama wewe au mtu yoyote anahitaji mtu mwenye sifa kama zangu haya ndo mawasiliano yangu...
  10. E

    NIPO TAYARI KUFANYA KAZI MKOA WOWOTE

    Mimi ni kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 24, Nina shahada katika fani ya banking and finance. Pia nina uzoefu kidogo katika fani yangu. Nipo tayari kufanya kazi kwenye kampuni, taasisi, benki nk. Kama wewe au mtu yoyote anahitaji mtu mwenye sifa kama zangu haya ndo mawasiliano yangu...
Back
Top Bottom