Kwakweli mahusiano yangu yoote yanakufa sababu ya kukosa attention ya mwanaume, daily unalalamika mtu hakuzingatii..unaamua kuacha tuu labda mapenzi si ya kila mtu.
NI ajabu sana mtu anajiona yuko sahh eti mimi hata niwe kimya ila ujue nakupenda..sasa unajiuliza kuna upendo bila ukaribu.
Nikipenda lazima nijisahau aisee..kila siku najiapia kwa kujidanganya "mm kumpa hela mwanmme😄mm kumuamini mwanmme" but mwisho wa siku narudia makosa..
Bora walioamua kua wachimba migodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.