Recent content by ENIJABABA

  1. E

    Kurudishwa payroll ya Serikali

    itakuwaje maana uliresign mwenyewe ndugu, wanajamvi naona wanasema waraka wa 2010 hauruhusu kuajiriwa tena, imekaaje hii unayosema kaka, ebu nidadavulie kidogo.
  2. E

    Kurudishwa payroll ya Serikali

    kwa mtu aliyeacha/resign kazi serikalini anaweza kuja kuajiriwa tena na serikali?
  3. E

    Kurudishwa payroll ya Serikali

    Je kwa aliye resign kazi mwenyewe serikalini anaweza kuajiriwa tena serikalini akiomba?
  4. E

    Bussiness idea of the 2013

    Ubarikiwe sana brotha maana hivyo vitu unavyovisema ni adimu sana na baadhi ya watu wanavitafuta sana lakini hawavipati na hata kama wakipata, wanapata kwa ghalama kubwa sana. Usichoke kuelimisha kaka
  5. E

    Bussiness idea of the 2013

    Ni wazo zuri brotha, kama hutojali naomba unidokeze japo kwa muhtasi kuhusu hiyo idea ili nilione ni jinsi gani naweza kushilikiana na wewe, e-mail yangu ni musibakuleba@yahoo.com. Siku njema
Back
Top Bottom