Recent content by English Learner

  1. English Learner

    GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, Buruhan amegoma kusaini matokeo ya kura za maoni Bukoba vijijini

    Kiburi cha kutumika kama chui wa karatasi au kinyago cha mpapule akimwakilisha Karamagi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kagera. Hakujua kama hata mchonga kinyago (Karamagi) amemshindwa Rweikiza mara mbili. Lililobaki akavae kanzu na baraghashia akasubirie mpango wa Sa100 na Karamagi
  2. English Learner

    GE2025 Siasa za Bukoba Mjini Kati ya Lwakatare na Kagasheki ilikuwa hatari sana ile ligi!

    This time league imechezwa kati ya LGA vs Mbunge. Hakuna jinsi nyingine yoyote ya kumtenganisha Hajat Fatma na jina la Byabato kutorudi. Mama Fatma alipambana sana kutuaminisha kuwa miradi na maendeleo yote yaliyofanyika kipindi hiki ni kwa juhudi za LGA ikiongozwa na RC. Dhana hii mpya ghafla...
  3. English Learner

    Pongezi kwa Kanisa Katoliki kwa Kusimamia Kidete Msimamo wa TEC

    Katika picha mjongeo inayoonekana hapo chini, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mbalali ambaye sasa ni Mgombea ubunge ndani ya CCM, Jimbo la Kyerwa, Karagwe anaonekana akizuiwa kutumia jukwaa la Ibada ya mazishi ya Padre Vitalis huko Karagwe kupiga siasa. Nalipongeza kanisa Katoliki kwa kwa kuwa firm...
  4. English Learner

    Ndugu zangu Wakristo naomba ushahidi wa Aya za Biblia kuonyesha Yesu kwa kinywa chake akikiri kuwa alikuwapo kabla ya Uumbaji wa mbingu na nchi

    Vifungu vifuatavyo hapa chini vinatoa ushahidi kutoka kwa maneno ya Yesu mwenyewe kwamba alikuwepo kabla ya uumbaji wa mbingu na nchi, akidokeza umungu wake na uwepo wake wa milele. Yohana 8:58, Yohana 17:5, Yohana 17:24,
  5. English Learner

    NATABIRI: Hema la Mwamposa la Dar (Kawe) litageuka kuwa gofu kama lile hema lake kule Moshi (Memorial)

    Sikubaliani na hoja ya utapeli lakini nakubaliana na maono kwamba ili hema lidumu maombi yanahitajika mno. Nasema hivi kwa sababu uwepo wake pale Kawe ni kwa hisani ya serikali ya awamu hii ya Mama. Ikitokea akaja Farao asiyemjua Yusufu, hema halitapona.
  6. English Learner

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Sir Jeff amenikuta hapa JF. Na ninamfahamu hata nje ya hapa na nje ya kabisa ya mitandao. Nayajua hata mazao toka mikono yake e.g. Clinton M, Elikana, 360 Globex, etc. Jeff ni mwanadamu kama binadamu wengine hivyo hawezi kukosa madhaifu. Lakini penye sifa yake mpe. Tatizo WaTz tumetekwa na roho...
  7. English Learner

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Aliyefanikiwa hajilinganishi na mtu mwingine zaidi ya yeye mwenyewe alivyokuwa jana.
  8. English Learner

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Acheni wivu na fikra za Kimaskini kuwachukia wanaofanikiwa. Sir Jeff ni kijana mpambanaji, mwenye ujasiri na akili ya kuona mkate pale wajinga wengi wanapoona mawe
  9. English Learner

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Sir Jeff kama kakamatwa haitakuwa kwa sababu yotote ile nyingine zaidi ya matumizi ya VPN kuiunga mkono #NoReformNoElection kupitia Twitter. Namsifu na kumpongeza kwa kujipambanua kama kijana jasiri anayelitetea Taifa lake hata kwa kuyasadaka maisha yake
  10. English Learner

    Rasmi: Zama hizi Mitandao ni Mhimili wa Kuunda/Kuimarisha au Kuangusha Dola!

    Kabla hatujawashutumu wazima internet tujiulize kwanza, je, tunao Vijana walio tayari kusimama kidete kutetea maslahi yao na nchi yao? Mathalani, niambie, nani katika vinara wetu wa mitandaoni anaweza kuwa "Eric Omondi" wetu?
  11. English Learner

    Rasmi: Zama hizi Mitandao ni Mhimili wa Kuunda/Kuimarisha au Kuangusha Dola!

    Wadau Wasalaam, Nimetafakari nguvu iliyoonyeshwa na Vijana wa Gen-Z huko Kenya na kisha nimepitia video ya Fidias Panayiotou, YouTuber na Influencer sasa Mbunge wa EU bila uzoefu! Nimebaini kuwa si jambo la kufikiria tena; Mitandao sasa ina nguvu ya kusimamisha au kuangusha dola. Kizazi cha...
  12. English Learner

    Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

    Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy has been attached for interested forex traders
  13. English Learner

    Ukombozi Umefika Morogoro...

    Hivi karibuni nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya ulimwengu wa Roho. Katika lulu ambazo nimepata kuzijua ni Mtumishi wa Mungu, Askofu Elibariki Sumbe msimamizi wa Kanisa la Vuka Yordani lililopo Ngaramtoni, Arusha. Katika zama tulizomo moja ya changamoto kubwa ni kuwatambua Watumishi wa Mungu wa...
  14. English Learner

    Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

    Chaguo langu naliweka kwa KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Mkoa wa Morogoro Shaka Hamdu Shaka na Pascal Mayalla wa JF.
Back
Top Bottom