Recent content by EngineOil

  1. E

    Kama una mpango wa kubadilsha simu pitia hapa

    vivo v17pro inayo. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. E

    Kama una mpango wa kubadilsha simu pitia hapa

    Asante. Kama unataka simu au jamaa na marafiki mawasiliano yako hapo juu. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. E

    Kama una mpango wa kubadilsha simu pitia hapa

    Ni kweli kkoo feki kibao. Na imeandikwa kila mtu afanye maamuzi yake ya kimaisha. Lakini kama unajua pa kwenda unajifunza kwamba simu original ziko sehemu nyingi tu. Mpaka uonyeshwe pa kwenda lakini. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. E

    Kama una mpango wa kubadilsha simu pitia hapa

    India, China, Malaysia... Sent using Jamii Forums mobile app
  5. E

    Kama una mpango wa kubadilsha simu pitia hapa

    Yaani umepoteza muda wako wote kukasirika juu ya maneno yalioyoandikwa kwenye mtandao wa kijamii? Matatizo yako hayaishii hapo.Unaweza ukaacha kusoma. Huu ujumbe sio kwa ajili ya kila mtu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. E

    Kama una mpango wa kubadilsha simu pitia hapa

    Kuna wateja wa aina mbali mbali wa smartphone. Kuna wale walioibiwa simu. Kuna wale wanaotumia laini nyingi. Kuna wale ambao simu haikai na chaji. Kuna wale ambao simu yao ina ''stuck''. Na kuna ambao wanataka simu mpya kwasababu wamechoka wanaoitumia. Lengo la hii post ni kukupa muongozo kama...
  7. E

    Wanawake tumekuwa tukiwaweka wanaume kwenye ‘friend-zone’, sasa wamekuja na hii

    Paula Paul, Sio faida ya kuwa ''rafiki'' wa mwanamke. Tukiwa marafiki tutakuwa tutafanya nini? Hiyo sababu ya kwamba its too ''painful'' ni uongo. Ukweli ni kwamba he won't ''***'' you. Hakuna faida ya kuongea na wewe tena. Wewe humtaki. Na yeye abaki kufanya nini? Kuongelea siasa?
  8. E

    Jinsi ya kunyamazisha watu wanaokusema eti kisa ''gari lako chafu''

    Iangalie iko hapo juu. Nimeshaiweka.
  9. E

    Jinsi ya kunyamazisha watu wanaokusema eti kisa ''gari lako chafu''

    Umeshawahi kusemwa (au kuchekwa) na watu eti kisa ''gari lako chafu?'' Unawajua hawa watu. Wanapenda sana kufuatilia mambo hayawahusu. Wasione kitu na wanaanza kukosoa. Hawajui unapitia changamoto gani kimasha. Wanakosoa bila kuelewa. Je, ungependa ''kuwanyamazisha'' hawa watu wenye tabia ya...
  10. E

    Creation of commercial adverts

    Jifunze kwanza jinsi ya kuandika matangazo. Acha kuwaza kufanya kazi kwenye TV industry. Jifunze kwanza matangazo yanavyoandikwa halafu ndio ufanye uamuzi wako. Hivi vitabu vitakusaidia: 1. How to Write A Good Advertisement---Victor Schwab 2. The Copywriters Handbook---Bob Bly 3...
  11. E

    Maisha ya Babu Tale, Fella, hayati Kanumba yana financial freedom kuliko wasomi wengi. Tunakosea wapi?

    Swali lako umeshalijibu mwenyewe. Kama unataka hela ''Tengeneza Bidhaa au Toa Huduma Ambayo SOKO Inataka'' Zuckerberg alitengeneza FACEBOOK. Bill Gates alitengeneza Software ya kutumika kwenye makompyuta. Hao matajri wawili wametengeneza PRODUCTS ambazo SOKO WANATAKA. Na ndio maana ni...
  12. E

    Maisha ya Babu Tale, Fella, hayati Kanumba yana financial freedom kuliko wasomi wengi. Tunakosea wapi?

    Wazo zuri sana mwanangu! Hata mimi mwenyewe nimeiona hiyo fursa. Na sasa hivi niko bize naitafuta hiyo hela ya kuwekeza. Wasomi hawatawaza hivi. Wasomi wengi mawazo yao yako hivi ''hebu ngoja niongeze na PHD labda naweza nikawa tajiri'' Kwahiyo maisha yao yote wanategemea mshahara. Halafu...
  13. E

    Maisha ya Babu Tale, Fella, hayati Kanumba yana financial freedom kuliko wasomi wengi. Tunakosea wapi?

    Jibu la swali lako ni simple sana. Ukitaka kutengeneza hela unayotaka---tengeneza bidhaa au toa huduma SOKO inayotaka. Ukubwa wa SOKO lako ndio ukubwa wa HELA utakayotenegeneza. Kutengeneza hela siyo digrii au elimu uliyonayo. Kutengeneneza hela ni KUTIMIZA MAHITAJI ya binadamu wenzako...
Back
Top Bottom