Mfano kwa mwaka wa kwanza anachosoma EE ndicho atakachosoma Mise kwa semester ya kwanza.
Semester ya pili watatofautiana kidogo Kozi mbili ,EE atasoma Soil na Introduction of environmental engineering lakini Mise atasoma mambo ya Mining and Mineral Processing pamoja na mambo ya industrial...
Acha kudanganya
Municipal and Industrial Services Engineering ni mtoto wa Environmental Engineering
Hamna utofauti mkubwa.
Hawa wanatofautiana kwa kiasi kidogo sana.
Hata O lev pia passmark imepanda
B yao inaanzia 65 halafu C inaanzia 50
Pia kigezo kingine ni hizi social media mf fb ,ig ,jf nk
Wengi wanapoteza muda kwenye social media kwa kupost na kulike picha,kusoma msanii gani kafanya nini wapi na kwa nini
Hivyo wanakuwa hawapati muda mwingi wa...
Tofautisha zamani na sasa
Hata mfumo wa elimu ni tofauti
Mitihani ya sasa hivi ni competence based exam ambayo inapima mwanafunzi kaelewa nini tofauti na mitihani ya zamani ambayo ilikuwa inampima mwanafunzi kakariri mambo.mangapi
Pia sababu nyingine passmark pia zimepandishwa sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.