Tumekuwa na wataalamu wengi katika fani mbalimbali lakini wote wamekuwa wakitamani na kukimbilia siasa ili waweze pata nyazifa mbalimbali kwa kuwa taaluma zao na utaalamu wao umekuwa na kipato duni. Kazi ngumu ila maslhi kidogo ilihali ni wataalamu. Tufanye nini ili watu wasikimbilie sana kwenda...
Ili tupige hatua ya maendeleo inabidi mawaziri waliotuhumiwa wafilisiwe mali zao zote na kuhukumiwa. Pia lazima tufikie sehemu ambapo anayechagua kuwatumikia watu ana wito kama vile wa upadre au uchungaji Usiotegemea mshahara. Lazima watu waogope kukimbilia tu siasa na ubunge.
Huna akili sawasawa wewe nenda milembe. Watu wamejeruhiwa vile unataka waendelee kukaa hapa bila matibabu sahihi. Mbona wezi na mafisadi hata hawaumwi waenda india. Nakushauri kama huna la kuchangia tulia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.