Jamani nilikua naomba ufafanuzi kuhusu mzigo wako unapofika posta ili uuchukue hua Kuna malipo utatakiwa kufanya au ukishalipa Ile shipping fee ndo unakua umemaliza.
Na Kama yapo hua ni kiasi gani?
ASANTENI
Wakuu kwa mwenye uelewa naomba msaada tafadhali.
Nimechaguliwa kozi ya Mechanical engineering chuo cha NIT ngazi ya Bachelor lakini naona ni ya miaka mitatu 3 nilikua nauliza kuna utofauti gani na kwenye vyuo vingine kwa sababu kozi hii inachukua miaka minne 4
Kama ulipata chuo kimoja yaani single admission haina haja ya ku confirm coz confirmation code wanatumiwa wale wanye multiple admission.Pia unaweza kuomba chuo kingine bila ku cancel admission ya chuo cha awali na bado ukapata,ukishapata chuo kwenye second round utaingia kwenye kundi la wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.