Kila mtu ana bando lake na simu yake so anahaki ya kuandika chochote anachojiskia so sio kinachoandikwa humu kinamantiki..heslb sio wajinga kuwapotezea watu muda bila sababu kama walisema watatoa tusubir..tukikosa na hapo ndo tulaumu
Watu wengi wanaapply so server imezidiwa..chakufanya jaribu kuapply muda ambao unahic watu weng watakua hawaivisit..mfano alfajir...cause me mwenyew nlipata matokeo yang ya chuo kwa haraka kwa sababu nilikua na log in saa kumi asubuh...ilivofika mida ya saa mbili ikawa kuingia ni shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.