Mm sijui vizuri environment engineering kazi zake hapa bongo ingawa watu wanaochaguliwa uwa na ufaulu wa kawaida hata div 2 na 3 uwa wanachaguliwa kusoma kwahiyo unavyo ilinganisha actuarial science na environment unakosea sea sana hii kozi labda ungelikanisha na petroleum engineering km...
Actuarial science hii kozi inafundishwa udsm tuu hii kozi inahusiana na mambo ya risk, kazi zake huwa katika mashirika ya bima na sehemu zingine za hesabu kiufupi hii kozi inahitaji mtu aliye fanya vizuri hesabu na Mara nyingi uchukuliwa watu wenye division one mzuri na vilevile hii kozi...
Ki ukweli engineering kozi zina sumbua kwa sababu kozi nyingi huwa za msimu na baada ya muda soko la upotea kozi zilizo hai ni civil, electrical na mechanical, changamoto za kozi za engineering hapa bongo ndo zilifanya kizazi cha PCM waliomaliza form six 2009 na 2010 chuo k kozi biashara...
Mm kwa upande wangu mechanical ni best kati ya hizi kozi civil, electrical ambazo ndo kozi pekee za engineering ambazo bado zina uhai hapa nchini ukilinga nisha na kozi za msimu km telecom na petroleum , mechanical ni kozi mzuri kwa sasa kutoka sera ya nchi ya viwanda na ktk viwanda...
Lift katika majengo hii ni kazi ya sub contractor ambayo mara nyingi huwa mechanical engineer ila kwa elimu ya mechanical ya hapa bongo uwezi kuwa fundi wa lift labda upate kazi kwenye company za nje ambao zina deal na haya mambo utaweza na ww kupata ideas kwa mfupi hii elimu kwa hapa Afrika...
Dogo hizo comb PCM,PCB na PGM sio rahisi km unavyo fikiri sinahitaji upate mwalimu mzuri wa kukufundisha na juhudi binafsi kwa ushauri yng tafuta tuition mzuri
Watu wanaopata A physics ni wachache kuliko wanaopata F ambao ni wengi lakn geography watu wanaopata A akuna na hata wanaopata F ni wachache zaidi kiufupi statistics ya ufaulu wa geography ni kubwa kuliko physics ambao chache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.