Habari wadau, samahani kwa yeyote anaejua upatikanaji wa fridge ya cocacola au pepsi anisaidie nmefungua biashara lakin nashindwa kufanya biashara kwa wiredi kwa sabaubu ya FRIDGE.
AKSANTE
Habari watz. samahan natafta mtu wa kuniuzia unga wa sembe na dona kwa bei ya jumla isiyozidi 21,000 kwa mfuko wa kilo 25. nanunua kuazia mifuko 10 mpaka 20. mtaji ukiongezeka nitanunua mpaka mifuko 200. napatikana mbezi mwisho barabara ya kwenda makabe. my no ni 0653 544 123. aksante
hawa wanatufukuza kwa mbinu za kutuibia na kutusumbua. huenda wana wateja wengi hvyo wamezidiwa. mm nlitumia zaid ya lak moja kisa kufatilia pesa yang nlituma bank 4'900'000 wakaisitisha haiend bank wala sipati sms mpka babang aliwekwa police kwa ajil ya upumbavu wa voda. NAICHUKIA VODA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.