Unapo design storage tank la rain water harvesting unazingatia demand side yaan matumizi yako ya maji ni kiasi gani lets say mf. Katika familia yangu maji tunatumia 180lts kwa siku ina maana kwa mwezi utatumia liters 5400, alafu unazngatia je unauhitaji wa maji hayo katika matumizi kipindi kipi...
Mkuu naomba nimsahihishe jamaa hapoa.. kwanza dimensions za storage tank zinategemea na uhitaji wako wa maji
Kitu cha kwanza kabla ya kuchimba kisima lazma utambue uhitaji wako wa maji kiasi gani unatumia , sasa basi unatakiwa uangalie njia ya uvunaji wako wa maji ni ipi lakini njia wanazotumia...
B.Sc. in Irrigation and Water Resources Engineering degree programme should be able to work in one or a combination of the following areas:
i) Large scale irrigation projects
ii) Urban water supply authorities
iii) Small-scale mechanised farmer managed schemes
iv) Irrigation and water resources...
Hapana mkuu hua wanaenda mwaka wa pili ila mwaka wa kwanza hawaendi na ndio maana hawaja wekewa katika loan allocation ya mwaka huu(yaan wa kwanza). Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.