kabombe ni mrisho Gambo..acheni kupoteza muda nae anamsifu Magu kwa kutoa pesa anapofafanuliwa kuwa magu hana pesa bali ni za wananchi anadai wananchi wapongezwe na sio bosi wake Ngosha, He goes on cycles..hizo ndizo akili ya maccm wakizidiwa hoja. Hopeful kuanzia sasa majengo na barabara na...
780,000,000mcf/d ambapo ilikuwa izalishe 3000MW Hio ndio ilikuwa ahadi
kwa sasa inazlisha chini ya megawatt 500
swali la kujiuliza je huo mradi mpya haujabeba ahadi hewa kama ule wa gesi asilia!!???
Spika ndugai ni mpotoshaji mkubwa hakuna mahala MHE.Mbowe wala chadema wamelalamikia huduma alizopewa marehemu bali wamelalamikia Bunge kupanga ratiba ya msiba BILA ya kushirikisha familia ya marehemu wala chama chake.
kwa sbb alichoandika Shilatu ni none sense kamati ya ubunge ilitaja maazimio matano ikiwemo kuwafikisha mahakamani wanasiasa wote waliousika na kashfa ya escrow wakiwemo waliogawana mabilioni ya benki ya mkombozi na akina Prof.Muhongo hakuna hata mmoja aliyechulkuliwa hatua ktk wanasiasa wote...
kusema Mbowe amekaa muda mrefu basi abadilishwe ni hoja dhaifu, usiangalie muda angalia results ndio kitu cha msingi.
halafu hata kama unataka abadilike lazima uje na sababu za msingi ambazo wengi wanaonekana hawana isipokuwa muda tu na tatu lazima uje na altenative na useme tatizo lililopo na...
hii inamaanisha wana CCM wana uchungu sana na chadema kuliko wana chadema wenyewe waliomuweka Mbowe na hawanaonekani kuwa na matatizo naye. swali kubwa la kujiuliza kwanini hawana tatizo la M-kiti wa CUF anayekalia kinguvu kiti ambaye yuko uongozi muda mrefu kuliko Mbowe??. jawabu mbowe is...
..inakuwaje monthly revenue imebakia tril 1.2 to 1.3 kwa mwezi na mdororo mkubwa huu wa biashara na hasa ukizingatia biashara kibao zimefungwa ?? is there any possibility that BOT maybe cooking the books to impress the King?? nataka kupata mawazo yako kwy hili la monthly collection!!
you are right Mr. Undertaker
they maybe paying interest only and that will take 100 years to pay off the whole debt. Time has come now to audit the BOT on our national debt. can you imagine shs 50trillioni na watu hawana maji ya safi na salama ya kunywa tena mijini.
ni Africa tu pekee kiongozi anapokitoa chama kutoka wabunge 4 na madiwani 46 mpaka wabunge 77 na wadiwani 1134 anaambiwa ajiuzulu kwa maana anakipeleka chama kubaya. Mbowe angekuwa anaongoza kampuni ningenunua shares mara mbili nilizozonazo kulingana na track record ya performance yake.
no hio sio kweli kaulize mkopo wa upanuzi wa barabara ya morogoro rd uliishia wapi ??!! kelele za wananchi zina impact kubwa sana kwani wakopeshaji wanaangalia political stability ya nchi wakiona kuna uvunjwaji mkubwa wa sharia na haki za binadamu inawekwa kwy ni HIGH RISK category.
wandugu hii issue ni simple
ITS ALL ABOUT CONTROL CONTROL CONTROL
CCM na SERIKALI yake wamezitia mfukoni Taasisi zote hapa nchini kasoro moja tu nayo ni TLS hawana uwezo wa ku impose viongozi wanaowataka kwy taasisi yao wanachagua viongozi wanaowataka wenyewe huku serikali ikiangalia huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.