Pole sana dia..relationship r harder nwdays..usikate tamaa forget abt yo past na angalia mbele..usiangalie hyo mwingine alikutreat vp hyo kashakua wako wa maisha so jikaze tu..as long as anakuheshim wala.usihof hzo ndo changamoto zenyewe
Mavazi wakati mwingine yanaweza kumtambulisha mtu ni wa aina gani..kuna mavazi mengine mtu anavaa hata ww wa pembeni kama ni msichana mwenzio unaona aibu!..Mavaz yapo ya kila dizine sio lazma uvae nguo ambayo ukipita kila mtu lazma ageuke...
Mimi sidhani kama Ester yupo sawa kusema haoni sababu ya waziri mkuu kujiuzulu...waziri mkuu ndiye mtendaji mkuu wa serekali hvyo lazima awe responsible kwa yaliyotokea..haijalishi amehusika au hapana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.