Mashine Iko Mpwapwa Dodoma
Ni mpya
Inatumia Umeme na Solar
Inahifadhi joto kwa zaidi ya saa6
Inafanya task zote Automatically
Bei ni 470,000/-
+255-(767)-11-222-1
Hapa tutajikita zaidi kwa Kuku na Kanga wa Kienyeji. Kwa maana hiyo ni vema tubadilishane maarifa kwa mambo yafuatayo
1. NAMNA BORA YA KUCHGUA MBEGU NZURI
2. NAMNA YA KUZALISHA CHAKULA MWENYEWE
(a)Hapa naomba watu tujaribu kubadilishana uzoefu namna gani bora zaidi ya kuweza kuzalisha vyakula...
Hapa tutajikita zaidi kwa Kuku na Kanga wa Kienyeji. Kwa maana hiyo ni vema tubadilishane maarifa kwa mambo yafuatayo
1. NAMNA BORA YA KUCHGUA MBEGU NZURI
2. NAMNA YA KUZALISHA CHAKULA MWENYEWE
(a)Hapa naomba watu tujaribu kubadilishana uzoefu namna gani bora zaidi ya kuweza kuzalisha vyakula...
Kuuza Alizeti na Kuuza Mafuta ni vitu viwili tofauti.
Suala la mafuta ni biashara nyingine na ina mchakato wake, ila hapa gunia hizi zinauzwa za alizeti kabla hazifanyiwa mchakato wa kuongezwa thamani kuwa mafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.