Nataka kuapply diploma in primary education but kwenye guidebook ipo lakini nikifanya application zilizopo ni certificate tu ....shida ni nini na snifanyeje?
Naomba msaada tafadhali dogo kamaliza six kapata dvs 3 ya 14 so ana DEE anataka aende dipl.ualimu na fungua nacte cioni guidebook ya ualimu au kuna utaratibu mwingine waliosoma au wenye ufahamu juu ya hili plz help..asante
wakuu nikilogin kwny page yangu heslb naambiwa my application is ready for submission ni print completed form na wakati nilishaprint zamani na kusubmitt je kuna tatizo naomba wenye ueleewa mnisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.