Recent content by empressu

  1. E

    Natafuta dawa inaitwa Oratane kwaajili ya chunusi..

    Hlw jf.. Mwenye kufahamu hii dawa inaitwa oratane(kwa ajili ya chunusi) inapatikana pharmacies? na ni bei gani?.
  2. E

    Msaada kuhusu Nacte

    Nataka kuapply diploma in primary education but kwenye guidebook ipo lakini nikifanya application zilizopo ni certificate tu ....shida ni nini na snifanyeje?
  3. E

    Msaada kuhusu kozi za ualimu secondary diploma

    Naomba msaada tafadhali dogo kamaliza six kapata dvs 3 ya 14 so ana DEE anataka aende dipl.ualimu na fungua nacte cioni guidebook ya ualimu au kuna utaratibu mwingine waliosoma au wenye ufahamu juu ya hili plz help..asante
  4. E

    msaada kuhusu tablet

    kusomea na kuhifadhi data..
  5. E

    msaada kuhusu tablet

    wakuu naomba mnisaidie tablet nzuri ni kampuni gani na sifa zake ni zipi...natanguliza shukrani.
  6. E

    Maisha ya chuo cha KCMC

    mbn tunaanza kuogopa tuliopangwa hapo...
  7. E

    Msaada kuhusu bodi ya mkopo

    aisee sorry mm co kikohozi mm ni mtu mwngn kbs kwa uku jamii forum mtu huwezi kuuliza kitu ambacho kinakutatiza au haukielewi?
  8. E

    Msaada kuhusu bodi ya mkopo

    asanteni nishasema uckute ni mm mwnyw aya mambo hayatbrk duuh
  9. E

    Msaada kuhusu bodi ya mkopo

    wakuu nikilogin kwny page yangu heslb naambiwa my application is ready for submission ni print completed form na wakati nilishaprint zamani na kusubmitt je kuna tatizo naomba wenye ueleewa mnisaidie...
  10. E

    Msaada kuhusu mkopo

    ww umeomba mkopo?
  11. E

    Mambo yashaanza kunoga NACTE!

    izo confirmation za nn tena mm cjaelewa
  12. E

    Kilimanjaro christian medical university college(KCMUco)

    habari zenu wakuu,tuliochaguliwa KCMUco tukutane hapa na wenyeji tafadhali mtuelekeze kuhusu KCMUco..natanguliza shukrani..
  13. E

    Mambo yashaanza kunoga NACTE!

    hata mm nimeona thnx to God...nawaombea na wengine mpate
  14. E

    Msaada kuhusu mkopo

    ni kuomba tu Mungu
Back
Top Bottom