Ndugu zangu wana jamii na wapenda michezo hususani wakazi wa kilimanjaro,nimeona leo nimtaje mtu ambaye amekua akirudisha soka la kilimanjaro na viunga vyake,nahuyu sio mwingine bali ni shabani chizi au machivia,kiukweli huyu bwana amekua taizo kwenye soka la moshi,muuaji huyu hupenda kufuatilia...