Kuna dada yangu ameathirika, ametumia ARV toka 2007 na anafuata masharti vizuri sana. Mumewe alifariki yeye alishindwa kukubaliana na matokeo, hajaolewa hadi sasa ila mpenzi anae lkn ye condom anaziombaga hospital wanampaga box zima. Na akitoka na mpnz wake anabeba kwenye pochi condom zake. Kwa...
Mimi ndo ulalaji wangu nikilala upande sifaidi sana usingizi lazima nigeuke nilale chali lkn sijawahi pata tatizo kabisa, ila kuna siku miaka 17 nyuma nikiwa na mimba kubwa mama alinigongea sana dirisha saa 8 uck nilipoamka akanambia nilikuwa nakoroma ikamshtua yeye mana si kawaida yangu...
Kwa hiyo hicho ni chumba maalum cha mazoezi ya kufa, na washangiliaji naona wako pembeni wanasubiri watu wafufuke, sasa huwa inachukua muda gani hadi mtu ujione roho imetoka kabisa na baadae kuirudisha roho ktk mwili. Na roho inakuwa inajua kuwa baada ya muda fulani natakiwa kuwa nimerudi pahala...
Kwa kweli leo nimejifunza mengi sana ambayo nilikuwa siyafahamu na mengine nilikuwa sijawahi hata kusikia, hiyo P.E.P kwa kweli msamiati mpya ila nimeelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.