Hawa jamaa mm siwaelew ukiwapigia wanadai wako ubungo terminal tena wanakuambia njoo na vyeti pamoja na elfu 20 ya form nikawaza form ya kaz inalipiwa?? Tena anakwambia ukiajiliwa mwisho wa mwez utampatia elfu hamsin kwa ajili ya comission coz yy ni agent ,nakapost ili tangazo in different media
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.