Ndugu yangu, na ndio maana nikasema katika hali isiyo ya kawaida......yaani ndoto hivi, hii ni ya tatu toka nizaliwe....na hakuna ambayo ilikuwa kinyume..........ya kwanza niliota kifo cha bibi yangu siku inayofuata wakati bibi hakuwa anaumwa wala nini.......kwa bahati mbaya bibi aligongwa na...
Habari ndugu zangu,
Katika hali ambayo siyo ya kawaida......nimeota kuwa rais wa awamu ya tano wa Tanzania ni Mheshimiwa Dr. W.P.Slaa. Kiitikadi mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa maana similiki kadi ya chama chochote.
Nimeota tumeshafikia mwaka 2015, mwezi December tarehe za...
Habari wandugu,
Kwanza kabisa nitoe shukurani kwa waanzilishi wa huu mtandao kwani nimefuatilia mada nyingi hususan za kimapenzi, kwa kweli zilinigusa sana.....so nikaona na mimi nijiunge ili nipate msaada wenu wa kimawazo.....kwani nimeona baadhi ya ushauri unajenga au kurudisha mahusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.