Recent content by emmy 2nyi

  1. E

    Bora nijikite huku nipate raha

    Hahaahahaaaa
  2. E

    Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

    Hahahaaaaa... We ni noumaaa. Mwendo Wa kukimbiana tu
  3. E

    Hii kasheshe kubwa

    Then pia ni chakula kizuri kiafya
  4. E

    Hii kasheshe kubwa

    Hahahhahaaa... Hayo ndo mapenz ya sababu
  5. E

    Mke malaya, nimfanyaje?

    Ila ni mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu
  6. E

    Mke malaya, nimfanyaje?

    Kwan jaman akiuliza amekosea nn
  7. E

    Mke malaya, nimfanyaje?

    Ila angekua mwanaume ndo kamtumia mwanamke hivo mngesema aombe msamaha
  8. E

    Natamani kumuacha, mambo yamebadika, sina hamu nae tena, namuona wa kawaida mno

    Inaonekana huna sababu ya kumuancha, lakini kumbuka ukimfanyia mtu ubaya unarudi pia
  9. E

    Hivi hii tabia ya kulipiwalipiwa wanawake mmeipata wapi?

    Ukitolewa siku ya kwanza ukalipa utaambiwa unajifanya unahela, dawa yao ni kupiga kimya
  10. E

    Hivi hii tabia ya kulipiwalipiwa wanawake mmeipata wapi?

    Wenye hela za mawazo ndo wanalalamika balaaa
  11. E

    Hivi hii tabia ya kulipiwalipiwa wanawake mmeipata wapi?

    Naona utafutaji umewawia ugum ndio maana wapo wakali, ukimualika mtu mtoke means umejipanga sasa nini mnalalamika?
  12. E

    Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

    Duuuh...we sio mtu mzuri aisee, ni bora hata ungemuacha tu kiaina ila sio kwa mambo hayo, kumsamehe mtu ni jambo jema sana
Back
Top Bottom