Recent content by emmanuelbrm

  1. E

    Naunga Mkono Kura ya Wazi kwenye Bunge la Katiba; Sababu Zangu 7

    Ukisha tamka neon kura ni lazima iwe ya siri..... isipokuwa ya siri haiwezi kuwa kura kwa vile binadamu tuna mapungufu yetu kwa kufuata alichochagua jirani yako nawe ukachagua usionekana msaliti.. inapokuwa siri matokeo hukubalika kwa walio wengi kushinda hoja..... Kura yoyote Duniani ni siri...
  2. E

    Photo... Je hii inaashiria nini kwenye uchaguzi kalenga ???

    Kazi ipo Nchi hii kisiasa..
  3. E

    Bungeni pawaka: KURA YA SIRI vs KURA YA WAZI

    Naona watu wamesahau maana ya kura..... ukisha sema kura ni maamuzi ya binafsi bila kumashirikisha mtu wakati wa kufanya hayo maamuzi ya unachokitarajia kinafaa kwa mtizamo wako bila mtu mwingine kujua .... Ni siri yako!!!
  4. E

    Mtikila ni simba

    Nimemkubali kwa msimamo wake wa Utanganyika bila kuogopa..
  5. E

    East African Federation (EAF) public Views

    Sikubaliani na Muungano wa Africa Mashariki kwa mitizamo miwili mikubwa.. 1. Kiuchumi - Hatuko sawa na hatutaweza kuwa sawa na wananchi wakafaidika na kitakachotokea ni majirani kuzidi kukuza uchumi wao kwa rasilimali zilizopo Tanzania kwa sababu wao wanauzoefu tayari na walishaona madhara...
Back
Top Bottom