Jamani hapa Arusha tuna kereka sana na usafiri wa daladala haswa zinazotokea kijenge wanakatisha ruti zao hapa samunge hawataki kufika stand kilombero
Wakikupa mpo kwenye haice nyingine unakuta hakuna hata pakukaa wakati ulikuwa umekaa mwanzoni kwa raha zako hili ni tatizo na ukijaribu kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.