Kaka suala la kwenda nje sio suala la kuomba ushauri si wenzio tunahangaika hayo mambo hatupati yaaan ningepata hata chance ya kwenda zambia tu nisingeomba ushauri
Jaman et uki apply diploma first selection ujawa selected ukienda pale NACTE kwenye tovuti yao upande wa afya wanasema congratulations unechaguliwa chuo fulan
Mimi kama sijaridhika naweza ku apply diploma second selection tena? Bila kuathiri first selection ile au hawawez ju request tena maombi...
Hellow kwenye hizi selection za diploma mdogo wangu kachaguliwa dar es salaam police academy medical lab hiki chuo kiko waaap kwa dar mwenye kukifahamu vip mazingira yake yanafana?
Hellow kwenye hizi selection za Diploma mdogo wangu kachaguliwa Dar es Salaam Police Academy Medical lab. Hiki chuo kiko wapi kwa Dar?
Mwenye kukifahamu vipi mazingira yake yanafana?
Guys kwenye application za chuo nimeona kuna baadhi ya vyuo vinatoa program ya radiology wengine radiograpy napenda kujua kama zina tofautiana nini hasa? Au ni moja tu
Samahan kaka ufaulu wa kawaida unamaanisha gani? Afu mimi siombi serikalini nataka nisome hapa hapa nyumbani karb naenda kwa mguu chuo kina hospitali hapo hapoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.