USALITI ni kitu kibaya sana ambacho kimsingi hudhoofisha kama sio kuharibu kabisa uhusiano, vilevile hupoteza mali na muda wa mtu. Kibaya zaidi usaliti unaweza kusababisha ulemavu au Vifo.
Tafsiri hasa ya neno USALITI inaweza kutofautiana kutegemea na maada ya mazungumzo au mtazamo wa mtu...
Consultant(Mshauri) anaweza kuwa mwanasheria ama taasisi au kampuni ya uwakala iliyosajiliwa na inatambulika kisheria, kazi yao hasa kwenye maswala ya ajira za nje ni kuusaidia ubalozi kuwasilisha na kufuatilia mchakato wa nyaraka zako mpaka unapata mkataba wa kazi.
Hawa ni watu wanaokushauri...
Hii ni kwa yeyote mwenye ndoto ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi:
Ili mwajili wa nje ya nchi akupe stahiki zako kama mfanyakazi na wewe ufurahie fursa hiyo basi ni lazima uwe na:
1. Elimu ya uhakika sababu ndio kigezo cha mtu anaejitambua kwa Dunia ya leo.
2. Uzoefu na taaluma yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.