Recent content by EMMANUEL ZACHA

  1. E

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wimbo wa Taifa la Mbagala

    Nakualika kuusoma Wimbo wa Taifa la Mbagala.
  2. E

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wimbo wa Taifa la Mbagala

    Siyo ule wimbo tunaoimba huku tumesimama wima mithili ya askari anayelinda benki ya CRDB. Siyo ule wimbo ulioimbwa kabla ya Timu ya Taifa kupigwa risasi moja ya kichwa na Timu ya Taifa ya Uganda katika michuano ya  CHAN pale kwenye uwanja wa Mkapa. Siyo huo ! Huu ni wimbo  sugu unaoimbwa na...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Tutumie mbinu hizi za kibunifu kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania duniani ili utupe fedha za maendeleo

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Nchi ya Tanzania ni miongoni mwa Nchi chache Duniani, zilizobarikiwa vivutio vingi vya utalii. Mbuga za wanyama, makumbusho ya kihistoria, uoto wa asili, milima na mabonde na vivutio vingine vya utalii, ni baadhi ya vivutio vya kitalii vilivyopo hapa Tanzania...
  4. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Utegemezi wa nchi za Afrika barani Ulaya, umeendelea kuwa tatizo sugu. Maoni haya yenye tija yatasaidia kupunguza utumwa huu

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Nchi nyingi za Kiafrika zimeendelea kuwa tegemezi Barani Ulaya, Amerika, Asia na Mataifa mengine toka Mabara ya nje. Serikali nyingi za Afrika, zimeendelea kutegemea mikopo, misaada na sera za kiutawala na kiuchumi kutoka Mataifa hayo. Utumwa huu usiokoma...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Jitahidi uwe na kitambulisho cha Taifa, kitambulisho cha mpiga kura na cheti za kuzaliwa. Hivi vitu ni muhimu kuliko unavyofikiria

    Dosari za uandishi (typing error). Ni cheti cha kuzaliwa badala ya cheti za kuzaliwa. Nawezaje kuhariri kichwa cha mnakasha (thread)? Nisaidieni.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Jitahidi uwe na kitambulisho cha Taifa, kitambulisho cha mpiga kura na cheti za kuzaliwa. Hivi vitu ni muhimu kuliko unavyofikiria

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Salamu kwenu Watanzania. Leo nimeamua kuandika makala yenye lengo la kuhamasisha Watanzania, kufuatilia na kupata Kitambulisho cha Taifa, Kitambulisho cha mpiga kura na Cheti cha kuzaliwa. Msukumo wa kutumia mda na kuandika makala haya, unachagizwa na ukweli ulio...
  7. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Tukipeleka umeme vijijini, tutaua ndege wawili kwa jiwe moja kwa kupata nishati ya umeme na tutatengeneza fursa nyingi zitokanazo na umeme

    Jinsi umeme vijijini unavyoweza kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Soma hiyo.
  8. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Tukipeleka umeme vijijini, tutaua ndege wawili kwa jiwe moja kwa kupata nishati ya umeme na tutatengeneza fursa nyingi zitokanazo na umeme

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Umeme ni nishati muhimu sana katika karne hii ya leo. Shughuli nyingi za majumbani, viwandani, ofisini na sehemu zingine, zinategemea sana nishati hii ili kufanya kazi. Matumizi yake ni mengi mno na umuhimu wake hauelezeki. Heko kwa Serikali ilijitahidi na...
  9. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ukitumia hii dawa yenye mchanganyiko wa mizizi sita, utavuta wateja kwenye biashara yako mpaka watu washangae (Tazama na sikiliza hii video)

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Kifungua kinywa cha asubuhi ni chai lakini kifungua kinywa cha waungwana ni salamu. Salamu kwenu wanafamilia wa JamiiForums, ni imani yangu kuwa mu wazima wa afya na poleni sana mashabiki wa Simba damudamu, kwa shambulizi la risasi moja ya kichwa, mliyofyatuliwa...
  10. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Laana huathiri mafanikio: Ukifanya mambo haya, utapata laana itakayokusababishia mikosi katika maisha yako

    Laana huja kwa njia tofauti tofauti na huathiri maendeleo au mafanikio kwa njia tofauti tofauti. Nchi hizo kuandamwa na vita ni laana, vimbunga vikali, Uviko 19 kuanzia huko na kuua sana na kadhalika. Zote hizo ni laana ambazo kwa njia moja au nyingine, huathiri uchumi na maendeleo yao.
  11. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Laana huathiri mafanikio: Ukifanya mambo haya, utapata laana itakayokusababishia mikosi katika maisha yako

    Sawa ndugu, nilichomaanisha hapo ni kwamba, ukiona mtu unaandamwa na mikosi, roho ya kukataliwa, roho ya madeni, pesa kupotea na kadhalika, ujue siyo bure kuna kitu. Na miongoni mwa sababu zinazoweza kumfanya mtu apitie hayo ni pamoja na pingu za kiutamaduni yaani kurogwa, kasoro za kibinadamu...
  12. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Laana huathiri mafanikio: Ukifanya mambo haya, utapata laana itakayokusababishia mikosi katika maisha yako

    Hayo mambo ni moja ya sababu za mtu kupata mikosi. Ila kama mtu anapata mikosi na hajafanya hayo, huenda zikawa ni sababu zingine nilizozitaja mwanzo kama vile, pingu za kiutamaduni (ushirikina), kasoro za kibinadamu, nyota na kadhalika.
  13. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Laana huathiri mafanikio: Ukifanya mambo haya, utapata laana itakayokusababishia mikosi katika maisha yako

    Na Emmanuel Zacharia. 0745937016. Ulishawahi kujiuliza kwanini unaandamwa na mikosi katika maisha yako? Ulishawahi kujiuliza kwanini unaandamwa na roho ya kukataliwa? Ulishawahi kujiuliza kwanini unaandamwa na roho ya madeni? Ulishawahi kujiuliza kwanini ukipata pesa hazikai (ndio mataizo...
Back
Top Bottom