Recent content by Emmanuel Ogonga

  1. Emmanuel Ogonga

    Watanzani tumjue huyu wakili anayetetea uzalimu Wakili Katuga

    Nyie mliopo kwenye nchi za watu ndy mnatusumbua akili mnajifanya tupo pamoja mnatudanganya tunakamatwa tunapigwa viboko,tunauwawa then mnakuja tena mtandaoni mnaanza kusema justice kwaajili ya fulani..kama mwanaharakat njoo upambane uku kaa mbele kbc hapo mm nitakuwa nyuma yako na bango la NO...
  2. Emmanuel Ogonga

    Watanzani tumjue huyu wakili anayetetea uzalimu Wakili Katuga

    Kumbe kelel kibao upo kwa watu.. Hiv ushapata taarifa sahiv daladal za mwenge uniform zao ni sawa na watu wa benki bhn..
  3. Emmanuel Ogonga

    Watanzani tumjue huyu wakili anayetetea uzalimu Wakili Katuga

    Umejikaza kabisa ety leta info zake,,.. mtot wa kiume kbc wewe unataka info za mwanaume mwenzio alafu?? Lala mapema kesho nikupeleke kwenye zege ukauchoshe uo mwili
  4. Emmanuel Ogonga

    Watanzani tumjue huyu wakili anayetetea uzalimu Wakili Katuga

    Jiandae kesho nikupeleke kwenye kazi ya zege mjomba day 15k unarudi home familia wanakula kidali safi siku inapita
  5. Emmanuel Ogonga

    Watanzani tumjue huyu wakili anayetetea uzalimu Wakili Katuga

    Ni kwel anaroho mbaya ni katili sawa hata maandiko yameandika ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga..sasa yaani baada ya kufaham ivyo vyooooote hoja ni ipi? Nini unataka kifanyike kaka mkubwa?
  6. Emmanuel Ogonga

    Ukitizama hii picha, Kisha kuna Mbunge anaona hitaji kubwa ni Number Plate Maalum kwa ajili yao

    Garama ya plate namba ni tsh ngapi? Garama ya V8 ni ngapi? Alfu unacomplain kuhus plate namba atleast ungecomplain kuhus magari wanayotumia ningekuelewa hoja za msingi amzingatii mnaenda na biti tu ukipigwa misomisondo mnaruka nayo regee mnadunda nayo
  7. Emmanuel Ogonga

    Ukitizama hii picha, Kisha kuna Mbunge anaona hitaji kubwa ni Number Plate Maalum kwa ajili yao

    Sijawai kuona mwanafunzi yoyot wa dar es salaam yupo kweny hali iyo...mbunge alieomba plate namba ni mbunge wa kinondoni anasababu zake kuomba pia sometimes ni kujidhalilisha tu ss watanzania kwel mbunge akaombe serikali iwanunulie wanafunzi sare?!! Au iwafungulie saloon kwaajil ya kunyoa nywele...
  8. Emmanuel Ogonga

    Somo la 3: uwekezaji kwenye soko la hisa (DSE)

    Somo zuri sana ukwel ni kwamb watu wengi ikiwapo na mm atujawa na elimu ya kutosha kuhusu hisa namna ya kununua ni utaratibu upi ufatwe na je unapouza pesa zako unazipata vp hii ni moja kati ya vitu vinavyopelekea watu wengi kutojiusisha na hisa mara nyingi watu uzungumzia namna ya kununua lkn...
Back
Top Bottom