Rais magufuli tawala kama itakavompendeza mungu umeleta neema kwa watanzania japo wapo wanafiki waoga na wenye kujipenda wenyewe wao ni kukosoa tu achana nao songa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu tuachane na fik ra mgando badala ya kulalamikia serikali tujikwamue wenyewe,anachofanya rais magufuli ni kwamba amemuwashia kipovu kibatal
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watanzania tulikuwa na mawazo mgando ya kusubiri serikali kufanya mambo hata kama yako ndani ya uwezo wetu,mfumo wa rais magufuli ni mfumo bora sana umefungua akili za watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.